Abiria wapatao 65 wamenusurika kifo baada ya Basi la Nganga Express linalo fanya safari yake Mbeya - Dar, kuingia mtaroni katika harakati za dereva kukwepa Lori lililokua likija uso kwa uso uso kwa uso.kitendo hicho kilikoa roho za abiria na wafanyakazi wa Basi hilo. Majeruhi wa5 wamekimbizwa hospitali ya rufaa Mbeya. Ajali hii imetokea Mbeya kijiji cha Lilongo asubuhi hii majira ya 12.48.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni