Ijumaa, 20 Machi 2015

KUELEKEA EL CLASSICO

Kuelekea EL CLASSICO Messi akiwa katika kiwango cha juu kabisa huku Christiano Ronaldo na real madrid wakilalamikiwa na mashabiki zao kutokuonesha kiwango kikubwa tutegemee nini kuktoka kwa Lionel Messi aliye onesha kiwango cha juu katika mechi ya klabu bingwa ulaya (UEFA) dhidi ya Man City.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni