Alhamisi, 30 Oktoba 2014

SRI LANKA YAPATA MAAFA YA MMOMONYOKO WA ARDHI..

Inaelezwa kuwa baada ya mvua kubwa iliyopelekea udongo uporomoka na kusababisha maafa makubwa huko Nchini Sri Lanka inakadiriwa idadi kubwa ya watu watakuwa wamepoteza maisha na wengine wasijue hatima ya maisha yao kwakuwa hakuna kilicho salia,si nyumba wala mifugo hata mazao pia vyote vimeadhiriwa vibaya.




Embedded image permalink







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni