Inaelezwa kuwa baada ya mvua kubwa iliyopelekea udongo uporomoka na kusababisha maafa makubwa huko Nchini Sri Lanka inakadiriwa idadi kubwa ya watu watakuwa wamepoteza maisha na wengine wasijue hatima ya maisha yao kwakuwa hakuna kilicho salia,si nyumba wala mifugo hata mazao pia vyote vimeadhiriwa vibaya.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni