Jumanne, 26 Agosti 2014

BASI LA KAMPUNI YA HOOD LIMEPATA AJALI

Gari hilo lililokuwa likitokea Arusha kuelekea kanda ya juu kusini limenusurika kugongana uso kwa uso na roli la mizigo maeneo ya Kingatiti ,ila kwa bahati nzuri hakuna aliye poteza maisha zaidi ya majeruhi.
                 Gari la abiria la kampuni ya Hood likiwa limepata ajali na kuharibika vibaya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni