Jumanne, 26 Agosti 2014

UGONJWA WA EBOLA BADO TISHIO BARANI AFRICA

Wananchi waishio barani  Africa hasa wale wa Magharibi bado wapo kwenye sintofaham kutokana na ugonjwa wa Ebola kuendelea kuua ndugu,jamaa na rafiki zao ingawaje jitihada nyingi zimewekwa kuhakikisha gonjwa hilo hatari lina komeshwa na kutokomezwa kabisa.

                                     Huu ndio muonekano wa virus viambukizavyo Ebola
                                                          Mgonjwa wa Ebola
                                               Ndugu wakiaga maiti na kuziombea.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni