Jumamosi, 30 Agosti 2014

UMESHAIONA VIDEO MPYA YA NICK MINAJ ..ANAKONDA

Mwanadada pekee wa kundi la music linalotesa nchini Marekani la Cash Money Nick Minaj amesha toa video yake ya Anakonda .
Video hiyo ambayo haifai kuangaliwa na watoto hasa wenye chini ya umri mdogo kutokana na mazingiria yake kuwa na utupu mwingi na mauno makali ya dada huyo mwenye makalio makubwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni