Ijumaa, 29 Agosti 2014

MBASHA AMJIA JUU MKEWE.

Mume wa msanii maarufu wa njyimbo za injili Flora Mbasha amuhoji mkewe utajiri alio nao kwa sasa wa haraka kiasi hicho.
Tuhuma hizo zilipelekwa moja kwa moja kwa Mchungaji Ngwajima ambae ilitapakaa kwamba anatembea na Flora.
Mbasha anasema mkewe huyo alipata kama mil.9 za kitanzania bila kufaham alipo zitoa.
                               Flora na Mumewe wakiwa katika pozi hivi karibuni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni