Jumamosi, 13 Septemba 2014

FAMILIA YA REEVA STEENKAMP YA KASIRISWA NA UAMUZI WA JAJI ANAEENDESHA KESI YA OSCAR...!!!


       HII NDIYO FAMILIA YA MAREHEM REEVA
OSCAR AKIWA NA MPENZI WAKE AMBAYE ALIMUUWA KWA KUMPIGA RISASI





Familia hiyo ikiongozwa na baba mzazi imesema jaji amempendelea Oscar kwani alitakiwa ahukumiwe kama muuaji kwakuwa mwanae hakufanyiwa haki.
Hali hiyo ya familia hiyo kuchukizwa na jaji huyo imekuja baada ya jaji anayeongoza kesi hiyo kusema kwamba Oscar atahukumiwa kwa kosa la kufanya mauaji ya kutokukusudia.
Oscar Pistorius  atakuwa nje kwa dhamana hadi hapo hukumu yake itakapo tangazwa mapema mwezi Octoba mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni