Jumanne, 16 Septemba 2014

SLAA AENDELEA KUULA,MNYIKA KUMRITHI KAMBWE,MWALIM ZANZIBAR.....!

Chama cha CHADEMA kimeendelea na uchaguzi wake mkuu wa kuteuwa viongozi wa ngazi za juu ambapo Freeman alishinda kuwa Mwenyekiti,Prof,Safari makamo wa Bara na Side wa Zanzibar.
Kutokanana na katiba ya chama hicho kumtaka Mwenyekiti kuteuwa Katibu Mkuu,Naibu Katibu Mkuu wa Bara na wa Zanzibar ,Mbowe amemteuwa Dr.Willbrod  Slaa kuwa Katibu Mkuu wa chamahicho huku nafasi ya Zitto Kabwe akipewa  Mnyika na kwa Zanzibar ameteuliwa Salum Mwalim.
                   ANGALIA PICHA ZA WALIOTEULIWA HAPA.


                             SLAA KULIA,MNYIKA KATIKATI NA MWALIM KUSHOTO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni