Kutokanana na katiba ya chama hicho kumtaka Mwenyekiti kuteuwa Katibu Mkuu,Naibu Katibu Mkuu wa Bara na wa Zanzibar ,Mbowe amemteuwa Dr.Willbrod Slaa kuwa Katibu Mkuu wa chamahicho huku nafasi ya Zitto Kabwe akipewa Mnyika na kwa Zanzibar ameteuliwa Salum Mwalim.
ANGALIA PICHA ZA WALIOTEULIWA HAPA.
SLAA KULIA,MNYIKA KATIKATI NA MWALIM KUSHOTO
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni