Jumatatu, 1 Septemba 2014
TRANSFER DEADLINE DAY.....
Ni siku ya mwisho ya dirisha la usajili wa wachezaji..fuatilia yaliyojiri na yanayoendelea kujiri katika wakati huu ambao kwa kawaida huwa na presha kubwa....kubwa siku ya leo ikiwa ni usajili wa mchezaji Radamel Falcao kwenda Manchester united kwa mkopo..
Dany Welbeck afuzu vipimo kwenda Arsenal kwa mkopo
Baadhi ya usajili uliokamilika ni pamoja na
Jina Timu atokayo Kwenda
Radamel Falcao Monaco Manchester United
Benjamin Stambouli Montpeilier Totenham
Sebastian Coates Liverpool Sunderland -Kwa mkopo
Lewis Holtby Totenham Hamburg
Hernandes Chicharito Manchester Utd Real Madrid- kwa mkopo
Marco Van Ginkel Chelsea AC Milan- Kwa nkopo
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni