THE EVENT
Alhamisi, 11 Septemba 2014
KIFARU CHA JESHI CHAFANYA MAHAFA MTWARA..
Ajali hiyo iliyotokea maeneo ya Mnonela barabara ya Mingoyo huko Mtwara na kuuwa watu wawili na wengine kujeruhiwa ,kifaru hicho kiliacha njia na kugonga nyumba iliyokuwa maeneo hayo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni