Jaji Mwanamke anaesikiliza kesi hiyo kwa ukaribu na umakini mkubwa kutoka kwa mawakili wa pande zote mbili jana aliiambia mahakama kuwa Oscar amepatikana na kosa la kuuwa bila ya kukusudia hivyo anatakiwa hukumu ambayo itasomwa mwezi wa kumi tarehe za mwanzoni.

OSCAR NA MAREHEM MPENZI WAKE
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni