Jumamosi, 13 Septemba 2014

WASTARA "NAJISIKIA VIZURI NIKIFANYA MAPENZI NA MWANAUME....

Msanii wa filam za kibongo zijulikanazo kama bongo movie ama Swahillhooh Wastara Juma ,ambaye alikuwa mke halali wa marehem Sajuki Juma anasema licha ya kupata maswahibu kadhaa katika ndoa lakini bado furaha yake kubwa ni mapenzi na hufurahi zaidi wakiwa na mwanaume anaemjali na kumdhamini kama mke.
Wastara afunguka zaidi na kusema starehe yake kubwa ni mapenzi na hufurahi zaidi wakati wote akiwa na mpenzi wake faragha na pia anayaheshim sana mapenzi.
                                                   WASTARA  NA MENEJA WAKE
                                                            WASTARA KATIKA POZI
                        WASTARA AKIWA NA MAREHEMU MUMEWE SAJUKI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni